Thursday, March 5, 2020

MAJALIWA AKABIDHI MIKOPO YA MATREKTA KWA WAKULIMA WA MKONGE ILIYOTOLEWA NA BENKI ZA NMB NA CRDB

Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa leo Machi 5, 2020 amekabidhi mkopo uliotolewa kwa mkopo na Benki ya NMB wa matrekta  11 na matrela  yake 22 yenye thamani ya sh. Bilioni  moja, kwa Vyama Vinne vya ushirika vya wakulima wa mkonge mkoani Tanga. Pichani, Mwenyekiti wa Vyama vya Mkonge mkoani Tanga, Greyson Nyari (wa pili kulia) akionyesha ufunguo wa moja ya matrekta aliyokabidhiwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 5, 2020 amekabidhi mkopo uliotolewa na Benki ya NMB wa matrekta  11 na matrela  yake 22 yenye thamani ya sh. Bilioni  moja, kwa Vyama Vinne vya ushirika vya wakulima wa mkonge mkoani Tanga. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akimkabidhi ufunguo wa moja ya matrekta hayo  Greyson  Nyari , Mwenyekiti wa Vyama vya Mkonge  Mkoa wa Tanga kwenye shamba la mkonge la wakulima wadogowadogo la  Mwelya Sisal Estate la Korogwe. 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua matrekta  manane aina ya Mahindra na majembe yake yenye thamani ya sh. Milioni 65 yaliyotolewa kwa mkopo na Benki ya CRDB kwa kwa Vyama Vinne vya ushirika vya wakulima wa mkonge mkoani Tanga. Mheshimiwa Majaliwa aliyakabidhi matrekta hayo kwa wakulima kwenye shamba la mkonge la wakulima wadogowadogo la Mwelya Sisal Estate  la Korogwe Tanga, Machi 5, 2020.  
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa leo Machi 5, 2020 amekabidhi mkopo uliotolea na Benki ya CRDB  wa matrekta  manane aina ya Mahindra na majembe yake yenye thamani ya sh. Milioni 65 kwa Vyama Vinne vya ushirika vya wakulima wa mkonge mkoani Tanga. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akimkabidhi ufunguo wa moja ya matrekta hayo  Emmanuel Urio ambaye ni mkulima. Makabidhiano hayo  yalifanyika  kwenye shamba la mkonge la wakulima wadogowadogo la  Mwelya Sisal Estate la Korogwe.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua matrekta  manane aina ya Mahindra na majembe yake yenye thamani ya sh. Milioni 65 yaliyotolewa kwa mkopo na Benki ya CRDB kwa kwa Vyama Vinne vya ushirika vya wakulima wa mkonge mkoani Tanga. Mheshimiwa Majaliwa aliyakabidhi matrekta hayo kwa wakulima kwenye shamba la mkonge la wakulima wadogowadogo la Mwelya Sisal Estate  la Korogwe Tanga, Machi 5, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.