Wednesday, March 11, 2020

TIMU YA WATAALAM YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KUTOKA TANZANIA BARA IMETEMBELEA VISIWANI ZANZIBAR

Timu ya wataalam ya kukabiliana na ugonjwa wa corona kutoka tanzania bara imetembelea visiwani Zanzibar. Timu hiyo itatembelea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Karume,hospitali ya mnazi mmoja,eneo maalumu la matibabu iwapo watatokea wahisiwa liliopo  Kidimni wilaya ya kati-Unguja pamoja na bandarini.Timu hiyo inahusisha wataalam kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee ma Watoto, TAMISEMI, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kikanda, pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu- Idara ya Menejimenti ya Maafa,  leo 11 Machi, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.