Monday, March 2, 2020

MAJALIWA ATEMBELEA KITUO CHA PAMOJA CHA FORODHA CHA HOROHORO MKOANI TANGA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa  Mkinga, Danstan Kitandula wakati alipofungua jengo la Ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Mkinga na kuzungumza na watumishi wa Halmashauri  hiyo, Machi 2, 2020. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye jengo la Kituo cha Pamoja cha Huduma za Fordha cha Horohoro mkoani Tanga wakati alipokitembelea kituo hicho, Machi 2, 2020. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kituo cha dharura cha kuwapokea na kuwafanyia uchunguzi  watu  wanaoingia nchini  kupitia mpaka wa Horohoro mkoani Tanga ambao wataonyesha kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya kuambukiza. Wa tatu kushoto ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu   na wa pili kushoto ni Naibu Waziri Nchi, Ofisi y Rais TAMISEMI, Mwita Waitara. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye jengo la Kituo cha Pamoja cha Huduma za Fordha cha Horohoro mkoani Tanga wakati alipokitembelea kituo hicho, Machi 2, 2020. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. 
Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao baada ya kufungua jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, Machi 2, 2020. 





EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.