Friday, March 13, 2020

WAZIRI KAIRUKI: MFUKO WA KUKOPESHA WAWEKEZAJI KUKOMBOA WENGI

Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara wa Uswidi na Afrika Mashariki Bw. Jan Furuvald akiwasilisha mada wakati wa kongamano hilo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akiteta jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki na Wanachama wa Chemba ya Wafanyabiashara wa Uswidi na Afrika Mashariki kaika Ukumbi wa Mikutano Serena Hotel Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Machi, 2020.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akiteta jambo na Balozi wa Tanznaia nchini Sweden Mhe. Dkt. Wilibrod Slaa wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki na Wanachama wa Chemba ya Wafanyabiashara wa Uswidi na Afrika Mashariki kaika Ukumbi wa Mikutano Serena Hotel Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Machi, 2020
Rais wa TCCIA Bw. Paul Koyi akihutubia wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki na Wanachama wa Chemba ya Wafanyabiashara wa Uswidi na Afrika Mashariki kaika Ukumbi wa Mikutano Serena Hotel Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Machi, 2020
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akiteta jambo na Balozi wa Tanzania nchini Swiden Mhe. Dkt. Wilibrod Slaa  wakati wa kongamano hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania TPSF, Godfrey Sembeye  akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Kipindi cha Supa Breakfast kinachorushwa na Eastafrica radio wakati wa kongamano hilo.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Zungu akieleza mikakati ya ofisi yake katika kuvutia wawekezaji wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki na Wanachama wa Chemba ya Wafanyabiashara wa Uswidi na Afrika Mashariki kaika Ukumbi wa Mikutano Serena Hotel Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Machi, 2020.
Sehemu ya wajumbe wakifuatilia mada mbalimbali katika Kongamano hilo.
Sehemu ya wajumbe wakifuatilia mada mbalimbali katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki na Wanachama wa Chemba ya Wafanyabiashara wa Uswidi na Afrika Mashariki kaika Ukumbi wa Mikutano Serena Hotel Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Machi, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.