Friday, June 29, 2018

MAJALIWA AZINDUA KITUO CHA POLISI KINACHOHAMKISHIKA , ENEO LA KISASA JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza wakati alipozindua Kituo cha Polisi kinachohamishika katika eneo la Kısasa jijini Dodoma, Juni 29, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamadi Masauni (wapili kushoto) na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde (kushoto) baada ya kuzindua Kituo cha Polisi kinachohamishika kwenye eneo la Kısasa jijini Dodoma Juni 29, 2018. Wengine pichani kutoka kulia ni Meya wa Dodoma, Profesa Davis Mwamfupe, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, Giles Mroto na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Deogratius Ndejembi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamadi Masauni akizungumza kumkaribisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  katika tukio la kuzindua Kituo cha Polisi kinachohmishika, eneo la Kisasa jijini Dodoma Juni 29, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Kituo cha Polisi kinachohamishika  katika eneo la Kısasa jijini Dodoma, Juni 29, 2018.   Kushoto ni Naibu Waziri wa Mambno ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamadi Masauni na wapili kulia ni Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Equity, Joseph Iha baada ya kuzindua Kituo cha Polisi kinachohamishika kilichojengwa kwa ufadhili wa benki hiyo eneo la Kisasa jijini Dodoma Juni 29, 2018.


Baadhi ya wananchi wa Dodoma wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipozungumza kabla ya kuzindua Kituo cha Polisi kinachohamishika, eneo la Kisasa jijini Dodoma Juni 29, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Askari wa Jeshi la Polisi,  E8687 Koplo Martin (kushoto) kuhusu pikipiki zilizokamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma kuwa ziliibwa.  Watatu kulia ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu na Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde na wasita kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani yaNchi, Mhandisi Hamadi Masauni.





EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.