Saturday, June 30, 2018

OFISI YA WAZIRI MKUU YASHIRIKI KATIKA BONANZA LA SHIMIWI JIJINI DODOMA

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kuingia katika mchezo wa mpira wa miguu wakati wa Bonanza la SHIMIWI lililofanyika Juni 30, 2018 Jijini Dodoma.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kuingia katika mchezo wa mpira wa miguu wakati wa Bonanza la SHIMIWI.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kuingia katika mchezo wa mpira wa miguu wakati wa Bonanza la SHIMIWI.

Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Kanali Matamwe Jimmy akiwapongeza wachezaji na washiriki wa michezo ya Bonanza walioshiriki katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma.

Mmoja wa wachezaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Alex Ndimbo akisubiri kupokea pasi ya mpira wakati wa mechi kati yao na Timu kutoka Wizara ya Kilimo wakati wa Bonanza la SHIMIWI lililofanyika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakishangilia mara baada ya timu yao kutoka sare kwa bao moja na Timu ya Wizara ya Kilimo wakati wa Bonanza la SHIMIWI lililofanyika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu, Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Nigel Msangi Msangi (waliosimama mwenye koti jeusi) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi yake mara baada ya kumalika kwa Bonanza la SHIMIWI Jijini Dodoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.