Friday, June 29, 2018

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AKISOMA HOTUBA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA 11 WA BUNGE JIJINI DODOMA

Bendi ya JKT Makutupora ikiongoza  Wimbo wa Taifa wakati Bunge lilipoahirishwa  jijini Dodoma Juni 29, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga makofi baada ya Bendi ya JKT Makutopora kuongoza Wimbo wa Taifa wakati wa kuahirisha  Mkutano wa 11 wa Bunge  jijini Dodoma Juni 29, 2018. Wengine kutoka kushoto ni Waziri wa Madini,  Angela Kairuki, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mahagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa  11 wa Bunge,  jijini Dodoma Juni 29, 2018.


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa  11 wa Bunge,  jijini Dodoma Juni 29, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongezwa na baadhi ya wabunge baada ya kusoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa 11 wa Bunge jijini Dodoma Juni 29, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.