Monday, June 25, 2018

SHEREHE ZA KUHITIMISHA KUWEPO MADARAKANI KWA MTUKUFU AGAKHAN

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akigonganisha glasi kumtakia afya njema, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli na Mtukufu Agakhan, katika sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma Juni 25, 2018. Kushoto ni Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai na katikati ni   Mwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agakhan (AKDN) Amin Kurji.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyeshwa na Bw. Mehboob Chamsi pochi iliyotengenezwa Tanzania, katika  sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, zilizofanyika kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma Juni 25, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia shati lililotengenezwa Tanzania, katika sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, zilizofanyika kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma Juni 25, 2018, kutoka kushoto ni Muwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agakhan (AKDN) Amin Kurji akifuatiwa na Bw. Mehboob Chamsi. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.