Sunday, August 11, 2019

MAJALIWA AZUNGUMZA NA WAOMBOLEZAJI WA VIFO VYA WATU WALIOFARIKI DUNIA KATIKA JALI YA LORI LA MAFUTA MOROGORO

Baadhi ya waombolezaji wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza baada ya kushiriki katika maadalizi ya kutambua miili na mazishi ya watu 69 waliofariki dunia katika ajali ya lori la mafuta lililopinduka na kushika moto kwenye eneo la Msamvu mjini Morogoro. Alizungumza na waombolezaji hao kwenye viwanja vya hospitali ya mkoa wa Morogoro, Agosti 11, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na waombolezaji  wakati aliposhiriki  katika maandalizi ya kutambua miili na maziko ya watu 69 waliofariki dunia katika ajali ya lori la mafuta lililopinduka na kushika moto  katika  eneo la Msamvu mjini Morogoro. Alizungumza na waombolezaji hao kwenye viwanja vya hospitali ya mkoa wa Morogoro, Agosti 11, 2019.
Baadhi ya waombolezaji wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza baada ya kushiriki katika maadalizi ya kutambua miili na mazishi ya watu 69 waliofariki dunia katika ajali ya lori la mafuta lililopinduka na kushika moto kwenye eneo la Msamvu mjini Morogoro. Alizungumza na waombolezaji hao kwenye viwanja vya hospitali ya mkoa wa Morogoro, Agosti 11, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na waombolezaji  wakati aliposhiriki  katika maandalizi ya kutambua miili na maziko ya watu 69 waliofariki dunia katika ajali ya lori la mafuta lililopinduka na kushika moto  katika  eneo la Msamvu mjini Morogoro. Alizungumza na waombolezaji hao kwenye viwanja vya hospitali ya mkoa wa Morogoro, Agosti 11, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya Mawaziri na viongozi wa mkoa wa Morogoro walioshiriki katika maandalizi ya kutambua miili na maziko ya watu 69 waliofariki dunia katika ajali ya lori la mafuta lililopinduka na kushika moto kwenye eneo la Msamvu mjini Morogoro. Alikuwa  kwenye viwanja vya hospitali ya mkoa wa Morogoro, Agosti 11, 2019. Kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Morogoro, Innocenti Kalogelisi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Stephene Kebwe, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi, Isack Kamwelwe na kulia ni Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.