Sunday, August 11, 2019

MAJALIWA AZUNGUMZA KATIKA IBADA YA KUWAOMBEA MAREHEMU WA AJALI YA MOTO WA LORI LA MAFUTA LILILOANGUKA ENEO LA MSAMVU MJINI MOROGORO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika ibada ya kuwaombea marehemu waliofariki katika ajali ya moto wa lori la mafuta lililoanguka katika eneo la Msamvu mjini Morogoro. Ibada hiyo ilifanyika  kwenye viwanja vya hospitali ya mkoa wa Morogoro, Agosti 11, 2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.