Monday, August 26, 2019

WAZIRI MHAGAMA AFUNGUA WARSHA YA WADAU KUJADILI FURSA ZA BOMBA LA MAFUTA –DODOMA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia sera, bunge, kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Bilinith Mahenge mara baada ya kufungua warsha ya majadiliano ya wadau kuhusu ushiriki wa Watanzania katika miradi ya kimkakati (Local content) katika sekta ya uziduaji mkoani Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, bunge, kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akisalimiana na mmoja wa washiriki wa warsha hiyo Bi. Mariagorete Charles mara baada ya ufunguzi wa warsha hiyo Agosti 26, 2019.



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, bunge, kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa warsha ya siku moja ya majadiliano ya wadau kuhusu ushiriki wa Watanzania katika miradi ya kimkakati (Local content) katika sekta ya uziduaji mkoani Dodoma iliyofanyika tarehe 26 Agosti, 2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.