Sunday, August 25, 2019

MAJALIWA AENDA JAPAN KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Agosti 25, 2019 ameondoka nchini kwenda Japan kwa ziara ya kikazi ya siku saba. Pichani, Mhe. Majaliwa akizungumza na Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako (kushoto)  na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt.  Avemaria Semakafu (wapili kushoto) kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam  kabla ya kuondoka.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.