Monday, November 25, 2019

WAZIRI MHAGAMA AKAGUA VITEGA UCHUMI VYA PSSSF JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mkuu, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Bw. Hosea Kashimba akifafaua jambo wakati wa ziara ya kukagua vitega uchumi vya Mfuko huo iliyofanya na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama  hayupo pichani, Novemba 25, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama(watatu kulia), akiongozana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana ,Ajira na watu wenye Ulemavu) Bw. Andrew Massawe (Wanne kulia), Mkurugenzi Mkuu, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Bw. Hosea Kashimba (Wapili kulia) na maafisa wengine wa juu wa PSSSF, mwanzoni mwa ziara ya Waziri kutembelea vitegauchumi vya Mfuko huo jijini Dar es Salaam Novemba 25, 2019.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akiongozana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Andrew Massawe (Kazi, Vijana ,Ajira na watu wenye Ulemavu )  kulia, Mkurugenzi Mkuu, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), wakati akikagua jengo la PSSSF Twin Towers lililopo katikati ya jiji la Dar es Salaam Novemba 25, 2019.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akiongozana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu  (Kazi, Vijana ,Ajira na watu wenye Ulemavu )Bw. Andrew Massawe wakati alipofanya ziara ya kukagua jengo la PSSSF Twin Towers Novemba 25, 2019.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama(katikati), akiongozana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Andrew Massawe (Kazi, Vijana ,Ajira na watu wenye Ulemavu ) kushoto, Mkurugenzi Mkuu, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Bw. Hosea Kashimba, (kulia), wakitoka kwenye moja ya majengo ya vitegauchumi vya Mfujo huo jijini Dar es Salaam Novemba 25, 2019. Mhe. Jenista ameanza ziara ya siku mbili kukagua vitegauchumi vya Mfukjo huo hususan majengo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama akimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu  (Kazi, Vijana ,Ajira na watu wenye Ulemavu ) Bw. Andrew Massawe akifafaua jambo wakati wa ziara ya kukagua vitega uchumi vya Mfuko huo iliyofanywa na Waziri huyo  Novemba 25, 2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.