Friday, January 4, 2019

MAJALIWA AZUNGUMZA NA WADAU WA ZAO LA KAHAWA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wadau wa zao la kahawa kwenye ukumbi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbinga, Januari 4, 2019.   Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wadau wa zao la kahawa kwenye ukumbi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbinga, Januari 4, 2019. 
Baadhi ya wadau wa zao la kahawa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbinga, Janujari 4, 2019. 




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.