Wednesday, November 15, 2017

KAMISHENI YA KUKABILIANA NA MAAFA ZANZIBAR YAVUTIWA NA URATIBU WA AFYA MOJA TANZANIA BARA

Mkurugenzi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu,Brigedia Jenerali Mbazi Msuya (Kulia), Mkurugenzi mtendaji  Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa  Zanzibar (katikati) na Mkuu wa Kitengo cha Operesheni na Huduma za Binadamu Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa  Zanzibar, Makame Khatib wakifuatilia majadiliano wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu kati ya  Kamisheni hiyo na Idara ya maafa  walipofanya ziara ofisi ya Waziri Mkuu, leo tarehe 15 Novemba, 2017,jijini Dar es Salaam.
Mratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu , Edgar Senga akiwasilisha mada ya majukumu ya idara hiyo wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu na  Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa ya Zanzibar walipofanya ziara ofisini hapo leo tarehe 15 Novemba, 2017,jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi  Msaidizi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Bashiru Taratibu akifafanua jambo wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu na  Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa ya Zanzibar walipofanya ziara ofisini hapo leo tarehe 15 Novemba, 2017,jijini Dar es Salaam, wengine ni waratibu wa maafa kutoka Zanzibar na Tanzania Bara.
Mkuu wa Kitengo cha Operesheni na Huduma za Binadamu Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa  Zanzibar, Makame Khatib akiwasilisha mada ya majukumu ya Kamisheni hiyo wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu na  Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, walipofanya ziara ofisini hapo leo tarehe 15 Novemba, 2017,jijini Dar es Salaam.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.