Wednesday, November 15, 2017

SERIKALI KUZINDUA RIPOTI YA UTAFITI WA KITAIFA WA MATOKEO YA UKIMWI 2016/17

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na waandishi wa Habari Mjini Dodoma mapema leo kuhusu maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yanayotarajiwa kufanyika Kitaifa Desemba mosi mwaka huu Jijini Dar es Salaam.kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Taifa ya  Kudhibiti UKIMWI TACAIDS  Dkt. Leonard Maboko.

Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Taifa ya  Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS)  Dkt. Leonard Maboko akieleza  kwa waandishi wa Habari kuhusu shughuli  mbalimbali zitakazofanyika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani Kitaifa yanayotarajiwa kufanyika Jijini Dar es Salaam Desemba mosi mwaka huu .kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama .
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano huo uliofanyika mjini Dodoma uliofanyika Novemba 15, 2017.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.