Wednesday, November 15, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKISALIMIANA NA WATU MBALIMBALI KATIKA VIWANJA VYA BUNGE DODOMA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mpiga Picha mwandamizi wa TBC Bibi Mary Hondo  katika Viwanja vya Bunge  Dodoma leo Novemba 15/2017 .pembeni kwa Mary ni Msimamizi wa Vipindi TBC Bibi Happinesi Ngasala.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Itilima Mkoa wa Simiyu. Mheshimiwa Njalu Silanga.leo Novemba 15/2017 katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.