Tuesday, November 7, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKIWASIKILIZA MAWAZIRI

Waziri MKuu, Kassim Majaliwa  akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bw. Selemani Jaffo wakati wa Kikao cha Kwanza Mkutano wa tisa wa Bunge kilicho anza leo Novemba 7/2017 Mjini Dodoma.
Waziri MKuu, Kassim Majaliwa  akimsikiliza Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Umi Mwalimu, wakati wa Kikao cha Kwanza Mkutano wa tisa wa Bunge kilicho anza leo Novemba 7/2017 Mjini Dodoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.