Wednesday, November 15, 2017

WAZIRI MKUU AKUTANA AKUANA NA BALOZI WA CHINA HAPA NCHINI TANZANIA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na Balozi wa China Nchini Tanzani Bibi Wang Ke nakufanya naye mazungumzo ya kikazi ofisini kwake Mjini Dodoma leo    Novemba 15/2017
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisikiliza jambo kutoka kwa Waziri wa Mambo Yandani (Mbunge) Mwigulu Nchemba wakati wa  kikao cha Tisa cha Bunge leo Novemba 15/2017 Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisikiliza jambo kutoka kwa Waziri wa Mambo Yandani (Mbunge) Mwigulu Nchemba wakati wa  kikao cha Tisa cha Bunge leo Novemba 15/2017 Mjini Dodoma.





EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.