Friday, November 24, 2017

MAKATIBU WAKUU OFISI YA WAZIRI MKUU WAKUTANA NA MENEJIMENTI YA OFISI HIYO DODOMA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora akizungumza jambo kwa wajumbe wa kikao cha Menejimenti ya ofisi hiyo (hawapo pichani) walipokutana kujadili   utekelezaji wa ofisi hiyo Novemba 24, 2017 kulia kwake ni Katibu Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bi. Maimuna Tarishi.

Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia kikao cha Makatibu wakuu Ofisi hiyo walipokutana kujadili utekelezaji wa majukumu yao Mjini Dodoma Novemba 24, 2017.

Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Issa Nchasi akichangia hoja wakati wa kikao cha Menejimenti ya Ofisi hiyo walipokutana na Makatibu wakuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu kujadili utekelezaji wa majukumu yao Novemba 24, 2017 Mjini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Packshard Mkongwa akifafanua jambo kwa Makatibu wakuu wa ofisi hiyo (hawapo pichani) wakati wa kikao cha menejimenti kilichofanyika Dodoma.

Makatibu wakuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Bunge na Waziri Mkuu Bi.Maimuna Tarishi na anayeshughulikia Sera na Uratibu Prof.Faustin Kamuzora wakisikiliza hoja za wajumbe wa kikao cha Menejimenti cha ofisi hiyo walipokutana kujadili utekelezaji wa majukumu yao Novemba 24, 2017 Dodoma.

Afisa Tehama Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Innocent Mboya akifafanua jambo wakati wa kikao cha Menejimenti ya Ofisi hiyo walipokutana Katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.