Monday, November 6, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA KIKAO CHA MAADALIZI YA BUNGE KINACHO ANZA KESHO

Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akiongoza kikao cha Wabunge kwa ajali ya maandalizi ya Mkutano wa Tisa wa Bunge la Kumi na Moja unaotarajiwa kuanza kesho Novemba 7/2017 Mjini Dodma. Mkutano huo umefanyika leo Novemba 6/2017 katika Ukumbi wa Msekwa Dododma.kushoto kwake ni Spika wa Bunge,Mheshimiwa Job Ndugai na kulia kwa Waziri Mkuu ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.