Sunday, November 5, 2017

WAZIRI MKUU AKIWA MKOANI LINDI KWA ZIARA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kata ya Mbekenyera, Wilayani Ruangwa, alipokuwa kwenye ziara ya kikazi ya siku moja Wilayani Ruangwa, Novemba 5, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi mipira miwili na jezi Meneja wa timu ya Namungo FC Fred Kimbi, katika Mkutano wa hadhara uliyofanyika katika kata ya Mbekenyera, Wilayani Ruangwa, Novemba 5, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi, mara baada ya kukagua ujenzi wa shule ya msingi Ng’au, iliyopo kata ya Mnacho Wilayani Ruangwa, Novemba 5, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa Shule ya msingi Ng’au iliypo Wilayani Ruangwa, Daniel Chilemba kwa kusimamia ujenzi kikamilifu, wakati alipoenda kukagua ujenzi wa shule, Novemba 5, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua ujenzi wa shule ya msingi Ng’au, iliyopo kata ya Mnacho Wilayani Ruangwa, Novemba 5, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua ujenzi wa shule ya msingi Ng’au, iliyopo kata ya Mnacho Wilayani Ruangwa, Novemba 5, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.