Wednesday, February 7, 2018

BUNGENI LEO TAREHE 07 FEBRUARI,2018

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge , Kazi, Vijana, Ajira na  Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiteta na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) na Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya, Bungeni mjini Dodoma Februari 7, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Bungeni mjini Dodoma Februari7, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Hanang, Dkt. Mary Nagu, bungeni mjini Dodoma Februari 7, 2018.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara kuelekea kwenye jengo la utawala la Bunge Mjini Dodoma Februari 7, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kavuu, Dkt. Pudenciana Kikwembe kwenye jengo la utawala la Bunge Mjini Dodoma, Februari 7, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.