Wednesday, February 28, 2018

WAZIRI MKUU AKIWA ZIARANI TANDAHIMBA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipokea zawadi ya mbuzi kutoka kwa mzee Ally Hassan Mauji, katika Kata ya Nanyamba, Wilayani Tandahimba baada ya mkutano wa hadhara. Februari 28, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Nanyamba kwenye mkutano wa hadhara, katika Wilaya ya Tandahimba, Mkoani Mtwara, Waziri Mkuu yupo mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku tatu, Februari 28, 2018.
Wananchi wa Kata ya Nanyamba, Wilaya ya Tandahimba Mkoani Mtwara, wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika mkutano wa hadhara, aliofanyika jana, Februari 28, 2018.



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Nanyamba kwenye mkutano wa hadhara, katika Wilaya ya Tandahimba, Mkoani Mtwara, Waziri Mkuu yupo mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku tatu, Februari 28, 2018.

 Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa, akipokea zawadi kutoka kwa mzee Ally Hassan Mauji, katika Kata ya Nanyamba, Wilayani Tandahimbabaada ya mkutano wa hadhara, kushoto ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipokea zawadi ya mbuzi kutoka kwa mzee Ally Hassan Mauji, katika Kata ya Nanyamba, Wilayani Tandahimba baada ya mkutano wa hadhara. Februari 28, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na msimamizi mkuu wa mradi wa ujenzi wa makao makuu ya halmashauri ya Nanyamba, Meja Atupele Andrew,(SUMA JKT),  wakati alipokagua ujenzi huo, jana jioni, Wilayani Tandahimba, Mkoani Mtwara, Waziri Mkuu yupo mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku tatu, Februari 28, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipewa maelezo ya maendeleo ya mradi wa ujenzi wa makao makuu ya halmashauri ya Nanyamba na msimamizi mkuu wa mradi huo, Meja Atupele Andrew,(SUMA JKT),  wakati alipokagua ujenzi huo, jana jioni, Wilayani Tandahimba, Mkoani Mtwara, Waziri Mkuu yupo mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku tatu, Februari 28, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.