Thursday, February 22, 2018

WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA FIFA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya Kinyango Rais wa Shirikisho  la Mpira Duniani(FIFA) Bwana Gianni Infantino katika mkutano na waandishi wa Habari  uliofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu. leo February 22/2017Jijini Dar es salaam Tanzania.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea Bandera ya FIFA kutoka kwa Rais wa Shirikisho  la Mpira Duniani(FIFA)Bwana Gianni Infantino katika mkutano na waandishi wa Habari  uliofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu. leo February 22/2017Jijini Dar es salaam Tanzania
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea Jezi namba Tisa kutoka kwa Rais wa Shirikisho  la Mpira Duniani(FIFA)Bwana Gianni Infantino katika mkutano na waandishi wa Habari  uliofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu. leo February 22/2017Jijini Dar es salaam Tanzania


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.