Thursday, February 8, 2018

MAJALIWA AKIZUNGUMZA NA WABUNGE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Dkt. Mary Mwanjelwa, Bungeni mjini Dodoma Februari 8, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Mbunge wa Kigoma  Kaskazini, Peter Serukamba kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 8, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Februari 8, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji  Peter Msigwa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 8, 2018.


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge, Murad Sadiq wa Mvomero  (kulia), Suleiman Nchambi wa Kishapu (katikati) na Richard Ndassa wa Sumve kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Februari 8, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.