Friday, March 22, 2019

MAJALIWA AFUNGUA KIWANDA CHA KUCHAKATA MUHOGO LINDI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea kiwanda cha kuchakata muhogo cha Cassava Starch of Tanzania Corporation Limkited (CSTC) baada ya kukifungua kwenye kijiji cha Mbalala katika jimbo la Mtama mkoani Lindi, Machi 22, 2019. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashra, Joseph Kakunda na wa pili kulia ni Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye. Wa tatu kushoto ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi na Mkuu wa wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga.  
ziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mfuko wenye unga wa muhogo wakati alipofungua kiwanda cha kuchakata muhogo cha Cassava Starch of Tanzania Corporation Limited (CSTC) kwenye kijiji cha Mbalala katika jimbo la Mtama mkoani Lindi, Machi 22, 2019. Wa pili kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum, Hamida Abdallah.  Kulia kwa Waziri ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi na Mkuu wa wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga na kushoto ni Shift Leader wa CSTC, Samwel Ponera.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Mwenyekiti wa Kampuni ya Cassava Starch Of Tanzania Corporation Limited  (CSTC), Bw. Gerald Billet (kulia) wakifungua  kiwanda cha kuchakata muhogo cha CSTC kilichopo katika kijiji cha Mbalala kwenye  Jimbo la Mtama mkoani Lindi, Machi 22, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akibonyeza kitufe kuwasha mashine ya kuchakata muhogo wakati alipozindua kiwanda cha kuchakata muhogo cha Cassava Starch of Tanzania Corporation Limited (CSTC) kilichopo katika kijiji cha Mbalala kwenye jimbo la Mtama mkoani Lindi, Machi 22, 2019.  Kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba na wa pili kulia ni Balozi wa Ufaransa nchini, Frederick   Clavier. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akibonyeza kitufe kuwasha mashine ya kuchakata muhogo wakati alipozindua kiwanda cha kuchakata muhogo cha Cassava Starch of Tanzania Corporation Limited (CSTC) kilichopo katika kijiji cha Mbalala kwenye jimbo la Mtama mkoani Lindi, Machi 22, 2019.  Kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba na wa pili kulia ni Balozi wa Ufaransa nchini, Frederick   Clavier.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya uchakataji muhogo wakati alipofungua kiwanda cha kuchakata mhogo cha Cassava Starch of Tanzania Corporation Limited (CSTC) kilichopo katika kijiji cha Mbalala kwenye jimbo la Mtama mkoani Lindi, Machi 22, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe wakati alipofungua kiwanda cha kuchakata muhogo cha Cassava Starch of Tanzania Corporation Limited (CSTC) kilichopo katika kijiji cha mbalala kwenye jimbo la Mtama mkoani Lindi Machi 22, 2019. Wengine kutoka kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Hamida Abdallah, Naibu Waziri wa kilimo, Omari Mgumba, Kaimu Mkuu wa mkoa wa Lindi na Mkuu wa wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga, Mwenyekiti wa CSTC, Gerald Billet, Balozi wa ufaransa nchini, Frederick Clavier, Mkurugenzi Mtendaji wa CSTC, Christophe Gallean na kulia ni Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye.
aziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kufungua kiwanda cha kuchakata muhogo cha Cassava Starch of Tanzani Corporation Limited (CSTC) kilichopo katika kijiji cha Mbalala kwenye jimbo la mtama mkoani Lindi, Machi 22, 2019.  Wa tatu kulia ni Balozi wa Ufaransa nchini, Frederick Clavier, wa pili kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa CSTS, Christophe Gallean.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.