Sunday, March 24, 2019

MAJALIWA ASHUHUDIA USHINDI WA TAIFA STARS DHIDI YA YA UGANDA

Mshambuliaji wa Taifa Stars, John Boko akichanja mbuga kuelekea lango la Timu ya Taifa ya Uganda katika Mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Machi 24, 2019. Taifa Stars ilishinda 3-1.
Mshambuliaji wa Taifa Stars, John Boko akichanja mbuga kuelekea lango la Timu ya Taifa ya Uganda katika Mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Machi 24, 2019. Taifa Stars ilishinda 3-1.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishangilia bao la tatu la Taifa Stars katika mechi ya kufuzu kuingia katika michuano ya mataifa ya Afrika iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Machi 24, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishangilia bao la tatu la Taifa Stars katika mechi ya kufuzu kuingia katika michuano ya mataifa ya Afrika iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Machi 24, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishangilia bao la tatu la Taifa Stars katika mechi ya kufuzu kuingia katika michuano ya mataifa ya Afrika iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Machi 24, 2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.