Tuesday, March 12, 2019

WAZIRI MKUU AHUDHURIA KIKAO MAANDALIZI YA BAJETI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Msekwa Bungeni jijini Dodoma Machi 12, 2019. Mheshimiwa Majaliwa alikwenda Bungeni kuhudhuria kikao cha Uwasilishwaji wa Mpango na Ukomo wa Bajeti ya Mwaka 2019/2020; na Uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha Uwasilishwaji wa Mpango na Ukomo wa Bajeti ya Mwaka 2019/2020; na Uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020, kwenye ukumbi wa Msekwa Bungeni jijini Dodoma Machi 12, 2019, kushoto ni Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai na kulia ni Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai.
Waziri wa Fedha Dkt. Philip Mpango akiwasilisha Mpango na Ukomo wa Bajeti ya Mwaka 2019/2020; na Uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020, kwenye ukumbi wa Msekwa Bungeni jijini Dodoma Machi 12, 2019.
Waziri wa Fedha Dkt. Philip Mpango akiwasilisha Mpango na Ukomo wa Bajeti ya Mwaka 2019/2020; na Uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020, kwenye ukumbi wa Msekwa Bungeni jijini Dodoma Machi 12, 2019.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.