Friday, March 8, 2019

NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWAASA WANAWAKE KUDUMISHA UPENDO NA UMOJA

Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakiwa katika maandamano ya kuadhimishi siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika Viwanja vya Mashujaa Dodoma.
Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakiwa katika maandamano ya kuadhimishi siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika Viwanja vya Mashujaa Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde akihutubia wanawake walioshiriki wakati wa Maadhimishi ya Siku ya Wanawake Duniani Mchi 8, 2019 katia Viwanja vya Mashujaa Dodoma yenye Kauli mbiu isemayo “Badili Fikra Kufikia Usawa wa Kijinsia kwa Maendeleo Endelevu” 
Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde (hayupo pichani) wakati wa maadhimisho hayo.
Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa maadhimisho hayo.
Kikundi cha bendi ya JUKIMSI wakionesha umahiri wao wa kuimba wakiwa katika gari maarufu kwa jina la “kijiko” wakati wa maadhimisho hayo.


Mmoja wa wanawake mahiri katika fani ya udereva wa magari makubwa (kijiko) Bi.Easther akionesha umahiri wake wa kuendesha gari hilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoadhimishwa kimkoa Viwanja vya Mashujaa Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde akiangalia moja ya mfuko ulioshoinwa kwa kitengo na kikundi cha Angel kutoka Dodoma wakati wa maadhimisho hayo.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde akiangalia akiangalia moja ya bidhaa ya mafuta inayotengenezwa na kikundi cha Farijika wakati akitembelea mabanda ya maonesho katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.