Friday, March 1, 2019

WAZIRI MHAGAMA AHIMIZA JAMII KUPIMA VVU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akipokea vifaa tiba pamoja na vifaa saidizi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Biashara Banki ya NMB Bw.Filbert Mponzi wakati wa uzinduzi wa Kituo cha kutolea huduma za tiba na matunzo kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI katika Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akihutubia wananchi wa Mirerani wakati wa warsha ya uzinduzi wa Kituo cha kutolea huduma za tiba na matunzo kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI katika Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara Machi 1, 2019.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akifunua kitambaa mara baada ya kukata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha kutolea huduma za tiba na matunzo kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI katika Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara Machi 1, 2019. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Dkt. Leonard Maboko akihutubia wananchi wa Mirerani wakati wa warsha hiyo.
Baadhi ya wakazi wa Mirereni wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa kituo hicho.
Baadhi ya wakazi wa Mirereni wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa kituo hicho.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akimpongeza msanii kutoka Sanaa madini group, Alex alipoimba wimbo wa kuhamasisha jamii kupima VVU wakati uzinduzi wa Kituo cha kutolea huduma za tiba na matunzo kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI katika Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akiangalia mtoto aliyezaliwa katika Kituo hicho Mapema mwishoni mwa wiki hii.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akimpongeza Bi.Jenita Vicent mara baada ya kujifungua mtoto wa kike katika kituo hicho.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akiteta jambo na msimamizi wa Kituo cha Afya cha Mirerani Dkt.Hassan Ishabailu mara baada ya kuwasili na kukagua shughuli za kituo hicho Machi 1, 2019 katika Wilaya Simanjiro Mkoani Manyara.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.