Saturday, March 30, 2019

WADAU WA AFYA MOJA WAJENGEWA UWEZO WA KUFANYA TATHIMINI YA VIMELEA HATARISHI VYA MAGONJWA KWA DHANA YA AFYA MOJA


Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Matamwe akifafanua umuhimu wa Tathmini  ya vimelea hatarishi vya magonjwa kwa kutumia Dhana ya Afya moja wakati  wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wataalamu wa sekta za afya nchini , Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 25- 28 Machi, 2019 Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya Wawezeshaji wa  mafunzo ya Tathmini  ya vimelea hatarishi vya magonjwa kwa kutumia Dhana ya Afya moja,wakifuatilia mafunzo hayo,  kutoka kushoto ni Mwakilishi kutoka Makao Makuu FAO, Sophie Von Dobchuetz, Mwakilishi  Makao makuu WHO, Caroline Ryan,wakifuatilia mafunzo hayo yaliyoofanyika , Jijini Dar es salaam. 
Mwakilishi kutoka Makao Makuu FAO, Sophie Von Dobchuetz akiendesha mafunzo ya Tathmini  ya vimelea hatarishi vya magonjwa kwa kutumia Dhana ya Afya moja wakati  wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wataalamu wa sekta za afya nchini, Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wawezeshaji wa hapa nchini Tanzania na wamashirika ya Kimataifa  wakiendesha mafunzo ya Tathmini  ya vimelea hatarishi vya magonjwa kwa kutumia Dhana ya Afya moja wakati  wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wataalamu wa sekta za afya nchini, Jijini. 
Baadhi ya washiriki wa  mafunzo ya kuwajengea uwezo wataalam wa sekta za Afya juu ya namna ya kufanya Tathmini  ya vimelea hatarishi vya magonjwa kwa kutumia Dhana ya Afya moja wakifanya majadiliano wakati  wa mafunzo hayo, Jijini Dar es salaam
Mwezeshaji kutoka Dawati la Afya Moja, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jubilate Bernad, akiendesha mafunzo ya Tathmini  ya vimelea hatarishi vya magonjwa kwa kutumia Dhana ya Afya moja wakati  wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wataalamu wa sekta za afya nchini, Jijini Dar es salaam
Washiriki wa  mafunzo ya Tathmini  ya vimelea hatarishi vya magonjwa kwa kutumia Dhana ya Afya moja wakiwa katika picha ya pamoja na  Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Matamwe (katikati) mara baada ya kufungua mafunzo hayo, Jijini Dar es salaam.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.