Tuesday, March 19, 2019

MAJALIWA AFUNGUA UJENZI NA UKARABATI MKUBWA WA KITUO CHA AFYA CHA KOROMIJE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Grace Fabian aliyejifungua mtoto wa kiume katika Kituo cha Afya cha Koromije wilayani Misungwi wakati alipofungua Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa Kituo hicho, Machi 19, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata  utepe ikiwa ni ishara ya kufungua Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa Kituo cha Afya cha Koromije wilayani Misungwi, Machi 19, 2019.  Wapili kulia ni Mkuu  wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Misungwi, Juma Sweda na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Misungwi, Samwel Gambadu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia baada ya kukata utepe ikiwa ni ishara ya kufungua Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa Kituo cha Afya cha Koromije wilayani Misungwi, Machi 19, 2019.  Wa pili kulia ni Mkuu  wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Misungwi, Juma Sweda na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Misungwi, Samwel Gambadu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa Kituo cha Afya cha Koromije wilayani Misungwi Machi 19, 2019. Kushoto ni Naibu Waziri wa Kilimo, Innocent Bashungwa, wa pili kulia ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Misungwi, Gambadu Samwel.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kufungua Mradi wa Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa Kituo cha Afya cha Koromije wilayani Misungwi, Machi 19, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kufungua Mradi wa Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa Kituo cha Afya cha Koromije wilayani Misungwi, Machi 19, 2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.