Saturday, March 16, 2019

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA HOSPITALI NA GHALA,WILAYANI RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa hospitali ya Wilaya Ruangwa Machi 16.2019 .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa hospitali ya Wilaya Ruangwa Machi 16.2019 .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mamantilie Asha Livembe (aliyesimama) na Asha Mluki (kushoto) baada ya kukagua ujenzi wa mradi wa hospitali ya Wilaya Ruangwa Machi 16.2019 .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mhandisi Mshauri Edgar Rugemalila, wakati akimuonesha mchoro wa ghala la Wilaya ya Ruangwa kabla ya kukagua ujenzi wa ghala hilo wilayani Ruangwa Machi 16.2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mradi wa ujenzi wa ghala wilayani Ruangwa Machi 16.2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.