Tuesday, October 8, 2019

WADAU WA MASUALA YA WANAWAKE NA WATOTO WAKUTANA KUJADILI KIPEPERUSHI CHA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA MTAKUWWA

Sehemu ya wajumbe wa kikao kazi cha kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA wakifuatilia mada zilizowasilishwa wakati wa kikao hicho.
Sehemu ya wajumbe wa kikao kazi cha kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA wakifuatilia mada zilizowasilishwa wakati wa kikao hicho.


Mshauri elekezi kutoka kampuni ya LEDECO Adv. Clarence Kipobota akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA walipokutana Oktoba, 8, 2019 Jijini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe walioshiriki katika kikao kazi cha kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA wakichukua nukuu wakati wa kikao kazi hicho.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.