Sunday, October 6, 2019

AFISA MANUNUZI, MZABUNI, KINAMPANDA WAKAMATWA KWA KUGHUSHI NYARAKA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua maktaba ya Chuo cha Ualimu Kinampanda, mkoani Singida, wakati akikagua ukarabati wa Chuo hicho Oktoba 6.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua ukarabati wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, mkoani Singida, Oktoba 6.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua mlango, kwenye ukarabati wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, mkoani Singida, na kutoridhishwa na vitasa hafifu vilivyotumika katika milango hiyo, Oktoba 6.2019.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimhoji Afisa Manunuzi wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, Bw. Francis Muyombo (kushoto), kwa kukiuka taratibu za manunuzi ya Serikali na kughushi nyaraka, Oktoba 6.2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.