Friday, October 11, 2019

MAJALIWA AZINDUA MAFUNZO YA KILIMO KUPITIA TEKNOLOJIA YA KITALU NYUMBA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na  viongozi mbalimbali na baadhi ya washiriki wa Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yaliyofanyika kwenye  viwanja vya Mpilipili mjini Lindi, Oktoba 10, 2019. Waliokaa kutoka kushoto ni  Tausi Hassan kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA),  Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar,  Balozi Ali Karume, Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Lindi, Fadhili Juma.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane, Ngongo mkoani Lindi, Oktoba 10, 2019. Wa pili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana, Kazi na Wenye Ulemavu, Jenista  Mhagama na  kulia ni Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar, Balozi Ali Karume. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na kushoto ni Tausi Hassan kutoka  Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu   (UNFPA).
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane, Ngongo mkoani Lindi, Oktoba 10, 2019. Wa pili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana, Kazi na Wenye Ulemavu, Jenista  Mhagama na  kulia ni Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar, Balozi Ali Karume. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na kushoto ni Tausi Hassan kutoka  Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu   (UNFPA).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama nyanya wakati alipozindua  mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane, Ngongo, Lindi Oktoba 10, 2019.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane wa Ngongo, Lindi Oktoba 10, 2019. Wa tatu  kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana, Kazi na Wenye Ulemavu, Jenista  Mhagama na  wa pili kulia ni Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar, Balozi Ali Karume.  Wa tatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Lindi, Fadhili Juma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane wa Ngongo, Lindi Oktoba 10, 2019. Wa tatu  kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana, Kazi na Wenye Ulemavu, Jenista  Mhagama na  wa pili kulia ni Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar, Balozi Ali Karume.  Wa tatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Lindi, Fadhili Juma.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.