Wednesday, October 2, 2019

MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA YA KUSINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu (katikati) wakisoma ramani ya ujenzi wa Hospitali  ya Rufaa ya Kanda ya Kusini katika eneo la Mitengo , Mtwara Oktoba 2, 2019. Kushoto ni Meneja wa Mradi, Godwin Maro.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini katika eneo la Mitengo, Mtwara Oktoba 2, 2019. Kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, wa tatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa na wanne kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.