Saturday, June 22, 2019

WATUMISHI OFISI YA WAZIRI MKUU WAASWA KUZINGATIA MAADILI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akihutubia watumishi wa Ofisi yake (hawapo pichani) wakati wa mkutano wake na watumishi hao ikiwa ni sehemu kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma inayoendelea ambayo iliambatana na mafunzo kuhusu masuala ya utumishi wa umma kwa watumishi hao.Mkutano huo ulifanyika Juni 22, 2019 Ukumbi wa mikutano wa PSSSF Jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi akizungumza na watumsihi wa ofisi yake (hawapo pichani) wakati wa mkutano huo.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akizungumza na watumsihi wa ofisi yake (hawapo pichani) wakati wa mkutano huo.
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na watumishi hao ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha mafunzo ya masuala ya utumishi wa umma ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha wiki ya Utumishi wa umma inayoendelea.
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na watumishi hao ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha mafunzo ya masuala ya utumishi wa umma ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha wiki ya Utumishi wa umma inayoendelea.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akikata keki kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, keki aliyoandaliwa na watumishi wa ofisi yake kumpongeza wakati wa mkutano wa kuhitimisha mafunzo ya masuala ya utumishi wa umma kwa ofisi hiyo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akimlisha keki Mkuu wa Kitengo cha Mawasilino Serikalini cha ofisi hiyo Bw. Agustino Tendwa kwa niaba ya watumishi wa ofisi yake, wakati wa mkutano wa kuhitimisha mafunzo ya masuala ya utumishi wa umma Juni 22, 2019.


Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Mazoea Mwera akifafanua jambo wakati mkutano huo.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.