Thursday, June 20, 2019

SERIKALI YAJADILI MPANGO KABAMBE WA UJENZI WA MJI WA SERIKALI AWAMU YA PILI

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Kujadili Mpango Kabambe wa Jiji la Dodoma, kuhusu mpango wa michoro ya Majengo ya Wizara Awamu ya Pili katika Mji wa Serikali na Michoro ya Miundombinu ya Chini ya Ardhi walipokutana na kikosi kazi cha kuratibu zoezi la Serikali kuhamia Dodoma hii leo Juni 20, 2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa ofisi hiyo Jijini Dodoma.

Sehemu ya wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia neno la ufunguzi kutoka Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi (hayupo pichani).

Baadhi ya wajumbe wakikao hicho wakifuatilia neno la ufunguzi kutoka Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi (hayupo pichani) walipokutana kujadili masuala ya mpango Kabambe wa Jiji la Dodoma ikiwa ni sehemu ya uratibu wa zoezi la Serikali kuhamia Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) Bi. Maimuna Tarishi akifuatilia michango ya wajumbe walioshiriki katika kikao kazi cha Kujadili Mpango Kabambe wa Jiji la Dodoma, kuhusu mpango wa michoro ya Majengo ya Wizara Awamu ya Pili katika Mji wa Serikali na Michoro ya Miundombinu ya Chini ya Ardhi walipokutana na kikosi kazi cha kuratibu zoezi la Serikali kuhamia Dodoma hii leo Juni 20, 2019.
Baadhi ya wajumbe wa kikao kazi cha Kujadili Mpango Kabambe wa Jiji la Dodoma, kuhusu mpango wa michoro ya Majengo ya Wizara Awamu ya Pili katika Mji wa Serikali na Michoro ya Miundombinu ya Chini ya Ardhi walipokutana na kikosi kazi cha kuratibu zoezi la Serikali kuhamia Dodoma Juni 20, 2019.

Mwenyekiti wa Timu ya Kutengeneza Mpango Kabambe wa Jiji la Dodoma Prof. John Lupala akichangia jambo wakati wa kikao hicho.







EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.