Monday, June 24, 2019

WAZIRI MKUU AMJULIA HALI MKUU WA WILAYA YA CHEMBA SIMON ODUNGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiakimjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga, aliyelazwa, katika Hospitali ya Mkoa, jijini DodomaJuni 24.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiakimjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga, aliyelazwa, katika Hospitali ya Mkoa, jijini DodomaJuni 24.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na wananchi waliyofika kupata huduma, katika Hospitali ya Mkoa, jijini DodomaJuni 24.2019, baada ya kumjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga, aliyelazwa hospitalini hapo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na wananchi waliyofika kupata huduma, katika Hospitali ya Mkoa, jijini DodomaJuni 24.2019, baada ya kumjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga, aliyelazwa hospitalini hapo.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.