Thursday, November 29, 2018

ZIARA YA MAJALIWA MKOANI GEITA


Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa Kituo cha Afya cha ushirombo wilayani Bukombe, Novemba 29, 2018. 
 Wanakwaya wa Ushirombo wakiimba wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipohutubia Mkutano wa hadhara kwenye Stendi ya Ushirombo, Novemba 29, 2018.


Bibi Mageni Simon akiwa mwenye furaha baada  ya kujifungua katika mazigira safi na salama ya  hospitali ya wilaya ya Geita ya Nzera iliyokaguliwa na kuzinduliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Novemba 28, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   akiweka Jiwe la Msingi la Ukarabati wa Kituo cha Afya cha Ushirombo wilayani Bukombe, Novemba 29, 2018. Kulia ni Mbunge wa Bukombe na Naibu waziri wa Madini, Doto Biteko na wapili kushoto ni  Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.