Thursday, November 29, 2018

MAJALIWA AFUNGUA JENGO LA MAABARA LA KITUO CHA AFYA CHA MASUMBWE WILAYANI MBOGWE.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Ilembela wilayani Mbogwe akiwa katika ziara ya mkoa wa Geita, Novemba 29, 2018. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua jengo la Maabara ya Kituo cha Afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe, Novemba 29, 2018. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wazazi waliolazwa kwenye Kituo cha Afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe, Novemba 29, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Bibi Frola Samwel aliyelazwa katika Kituo cha Afya  cha Masumbwe wilayani Mbogwe akimuuguza mwanae  Mathias Paschal wakati alipofungua jengo la Maabara ya Kituo hicho, Novemba 19, 2018. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi, Robert Gabriel. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Bibi Frola Samwel aliyelazwa katika Kituo cha Afya  cha Masumbwe wilayani Mbogwe akimuuguza mwanae  Mathias Paschal wakati alipofungua jengo la Maabara ya Kituo hicho, Novemba 19, 2018. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi, Robert Gabriel. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.