Wednesday, July 31, 2019

MAJALIWA AKAGUA MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA WAJUMBE WA MKUTANO WA SADC KWENYE KIWANJA CHA NDEGE CHA JULIUS NYERERE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam baada ya kukagua maandalizi ya mapokezi ya  wajumbe wa mkutano wa SADC  katika jengo la pili na la tatu kwenye kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Julai 31, 2019. Katikati ni Mkuu wa wilaya ya Ilala, Sophia Mjema.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maandalizi  ya mapokezi ya wajumbe wa mkutano wa SADC kwenye jengo la pili na la tatu la abaria katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha  Julius Nyerere jijini Dar es salaam Julai 31, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza na Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Wilson Kantambula (kulia) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Damas Ndumbaro (kushoto) wakati alipokagua maadalizi ya mapokezi ya wajumbe wa mkutano wa SADC kwenye jengo la pili na  la tatu katika kiwanja cha ndege cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Julai 31, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano  pamoja na viongozi wa Mkoa wa Dar es salaam wakati  alipokagua maandalizi ya mapokezi kwa wajumbe wa mkutano wa SADC kwenye  Jengo la pili na la tatu la abaria katika  kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Julai 31, 2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.