Thursday, July 11, 2019

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI TANZANIA TOKEA NCHINI MISRI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, tokea nchini Misri, alipokua kwenye ziara ya kikazi ya siku tatu, Julai 11.2019. Kulia ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Puyo Ngalayainisi. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.