Friday, July 5, 2019

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMEMWAKILISHA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI, KATIKA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA 53 YA JUMUIYA YA KIKRISTO(CCT)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Askofu, Alinikisa Cheyo, wakati akiwasili katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya 53 ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) ulioambatana na harambee ya kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa kitegauchumi cha jumuiya hiyo, katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma Julai 5.2019. Waziri Mkuu, amemwakilisha Rais Dkt. John Magufuli, katika mkutano huo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiteta jambo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Askofu, Alinikisa Cheyo, kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya 53 ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) ulioambatana na harambee ya kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa kitegauchumi cha jumuiya hiyo, uliyofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma Julai 5.2019. Waziri Mkuu, amemwakilisha Rais Dkt. John Magufuli, katika mkutano huo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na waumini wa Kikristo, kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya 53 ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) ulioambatana na harambee ya kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa kitegauchumi cha jumuiya hiyo, uliyofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma Julai 5.2019. Waziri Mkuu, amemwakilisha Rais Dkt. John Magufuli, katika mkutano huo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na waumini wa Kikristo, kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya 53 ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) ulioambatana na harambee ya kukusanya fedha kwa ajili ya ujenzi wa kitegauchumi cha jumuiya hiyo, uliyofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma Julai 5.2019. Waziri Mkuu, amemwakilisha Rais Dkt. John Magufuli, katika mkutano huo.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.