Thursday, May 3, 2018

MATUKIO BUNGENI 3.5.2018

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018

Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza, bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia Bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Anne Kilango Malecela, Bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Kilombero Peter Lijualikalikwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Mei 3, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Lucy Mayengakwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Mei 3, 2018. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC), kwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Mei 3, 2018, kutoka kushoto ni Godfrey Nago, Abdulhamid Nzota na Mtumishi wa Wizara ya Ujenzi, Stanford Matovolwa.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Sumve, Richard Ndasa kwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Mei 3, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.