Tuesday, May 22, 2018

WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akisalimiana na Balozi wa Italia Nchini Tanzania, Mhe.Roberto Mengoni wakati alipotembelewa ofisini kwake Bungeni Dodoma Mei 22, 2018.

Balozi wa Italia Nchini Tanzania, Mhe.Roberto Mengoni akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akizungumza na Balozi wa Italia Nchini, Mhe.Roberto Mengoni alipomtembelea Jijini Dodoma Mei 22, 2018.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.