Wednesday, May 30, 2018

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA VIONGOZI WA BENKI YA NMB NA KUPOKEA HUNDI YA SH. 10M KWA AJILI YA TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA NAMUNGO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bibi Ineke Bussemaker (katikati) na  Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa NMB (Head of Government Business), Bibi Vicky Bishubo, Ofisini kwa Waziri Mkuu, Magogoni  jijini Dar es salaam, Mei 30, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bibi Ineke Bussemaker (katikati) na  Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa NMB (Head of Government Business), Bibi Vicky Bishubo, Ofisini kwa Waziri Mkuu, Magogoni  jijini Dar es salaam, Mei 30, 2018.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya sh. 10, 000,000/=  kutoka kwa  Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bibi  Ineke Bussemaker (katikati) ukiwa ni mchango wa Benki hiyo kwa timu ya mpira wa miguu ya Namungo ya wilayani Rungwa. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam Mei 30, 2018. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa NMB,  Bibi Vicky Bishubo.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.