Monday, July 24, 2017

MAJALIWA AKUTANA NA MWALIMU WAKE WA SEKONDARI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwalimu  wake, Agrias Sichone ambaye alimfundisha katika Shule ya Sekondari ya Kigonsera mwaka 1977 hadi 1980. Alikuwa katika kikao cha  kuhitimisha ziara yake mkoani Songwe kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Sunrise mkoani humo Julai 24, 2017.  kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Chiku Galawa.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwalimu  wake, Agrias Sichone ambaye alimfundisha katika Shule ya Sekondari ya Kigonsera mwaka 1977 hadi 1980. Alikuwa katika kikao cha  kuhitimisha ziara yake mkoani Songwe kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Sunrise mkoani humo Julai 24, 2017.  kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Chiku Galawa.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.